1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tumwine amtaka Museveni ajiandae kung'atuka

25 Juni 2021

Matamshi ya jenerali Elly Tumwine kumtaka rais Museveni ajiandae kung’atuka yamepokelewa kwa maoni ya mshangao na mshtuko kwani anafahamika kuwa mfuasi wake mwaminifu na wa jadi katika historia ya mapambano yao miaka ya themanini. Isikilize ripoti ya mwandishi wa DW aliyeko Kampala, Uganda, Emmanuel Lubega.

https://p.dw.com/p/3vXzv