1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Teknohama kuboresha utunzaji wa data za kitabibu Gabon

10 Februari 2016

Aliposhindwa kupata ajira, Fabrice Yonawah aliamua kutumia ubunifu wake. Alitumia taaluma yake ya teknolojia ya mawasiliano kutengeneza program ya kompyuta ambayo inarahisisha utunzaji wa data na mawasiliano miongoni mwa hospitali nchini Gabon.

https://p.dw.com/p/1HsYo