1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania yatangaza kupambana vikali na kundi la "Panya Road"

Deo Kaji Makomba
16 Septemba 2022

Serikali ya Tanzania imesema hakutakuwa na huruma kwa watu wote wanaojihusisha na matukio ya kihalifu na kwamba vyombo vya ulinzi vimejipanga kukabiliana na vitendo hivyo. Hii ni baada ya kuripotiwa kwa matukio kadhaa ya vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na kundi linalojiita "Panya Road." Sikiliza ripoti ya Deo Kaji Makomba kutoka Dodoma.

https://p.dw.com/p/4GzJC