1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania yakabaliana na viumbe vigeni

10 Oktoba 2018

Serikali ya Tanzania imeanza kuchukua juhudi za kupambana na viumbe wageni wa mazingira katika maeneo mbali mbali ya nchi, ni katika moja ya hatua za kupambana na athari za mabadiliko ya tabia nchi na uharibifu wa mazingira. Tazama jitihada hiyo kwa vidio iliyaondaliwa na Yakub Talib

https://p.dw.com/p/36JNG