1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tamasha la kuwapa tembo majina katika nchini Kenya

Thelma Mwadzaya20 Oktoba 2021

Makala ya mazingira hii leo inajikita kwenye juhudi za kuwahifadhi ndovu mbugani Amboseli na pia kuwapa majina ikiwa ni kwa mara ya kwanza katika historia, Kenya imezindua tamasha la kuwapa tembo majina.

https://p.dw.com/p/41tqe