1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taliban wadhibiti mji mwingine nchini Afghanistan

10 Agosti 2021

Wanamgambo wa Taliban wamechukua udhibiti wa mji mkuu mwingine wa mkoa wa kaskazini mwa Afghanistan. Huo ni mji mkuu wa sita wa mkoa kuangukia mikononi mwa Taliban katika kipindi cha siku nne zilizopita.

https://p.dw.com/p/3ynAi