Watu kadhaa wauawa kwenye shambulizi katika mji wa Donetsk nchini Ukraine, Sweden yasema bado haijulikani aliyehusika na uharibifu katika bomba la Nord Stream 2 na utawala wa Biden watoa ripoti zinazomlaumu Trump kwa hatua ya machafuko ya kujiondoa kwa Marekani nchini Afghanistan.