Vikosi vya kundi la Taliban nchini Afghanistan vyafunga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kabul, Rais wa Marekani, Joe Biden aaapa kuendeleza mashambulio ya angani dhidi ya kundi la itikadi kali nchini Afghanistan na kundi la Taliban lasema linaunda baraza jipya la mawaziri wakati Marekani ikikaribia kukamilisha shughuli ya kuwaondoa watu