Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema liko katika hali ya tahadhari katika eneo la Kaskazini mwa nchi, waziri wa mambo ya nje wa India Subra manyam Jaishan kara akutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin na mkuu wa kikosi cha (RSF) nchini Sudan Jenarali Mohamed Hamdan Daglo, akutana na rais wa Uganda Yoweri Museveni