1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaMarekani

Taarifa ya habari za asubuhi ya DW Kiswahili: 23.06.2023

23 Juni 2023

Abiria watano waliokuwa kwenye nyambizi kwa jina Titan waaminika kufariki dunia, Rais wa Marekani Joe Biden na waziri mkuu wa India Narendra Modi, watoa wito kwa Pakistan kuchukuwa hatua za kukabiliana na mashambulizi ya itikadi kali na Umoja wa Mataifa umeviorodhesha vikosi vya Urusi katika orodha yake ya kila mwaka ya mataifa yanayokiuka haki za watoto katika migogoro

https://p.dw.com/p/4Sy1C
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago imagesPicha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)