1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaMarekani

Taarifa ya habari za asubuhi ya DW Kiswahili: 1.04.2023

1 Aprili 2023

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, kufikishwa kizimbani Jumanne wiki ijayo, raia nchini Ukraine waadhimisha ukombozi wa mji wa Bucha kwa kutoa wito wa haki na rais wa halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen yuko mbioni katika mchakato wa uteuzi wa mkuu mpya wa jumuiya ya kujihami ya NATO.

https://p.dw.com/p/4PZy6
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago imagesPicha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)