1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi 26.10.2016

Yusra Buwayhid
26 Oktoba 2016

Marekani inasema inapanga kusaidia katika operesheni za kuukomboa mji wa Mosul nchini Iraq na Raqqa nchini Syria kwa wakati mmoja. Polisi nchini Ufaransa wameanza kuvunja kambi ya Calais. Na, Bunge la Venezuela limepiga kura ya kumfungulia kesi Rais wa nchi hiy, Nicolas Maduro.

https://p.dw.com/p/2RhhM