1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi 17.05.2017

Caro Robi
17 Mei 2017

Rais wa Marekani Donald Trump alilitaka shirika la upelelezi la FBI kusitisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa mshauri wake wa usalama wa taifa Michael Flynn//Duru mpya ya mazungumzo ya kutafuta amani Syria yaanza Geneva huku matumaini ya kupatikana ufumbuzi yakiwa madogo//Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wamiminika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakitoroka mapigano.

https://p.dw.com/p/2d4zI