Rais wa Marekani Donald Trump alilitaka shirika la upelelezi la FBI kusitisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa mshauri wake wa usalama wa taifa Michael Flynn//Duru mpya ya mazungumzo ya kutafuta amani Syria yaanza Geneva huku matumaini ya kupatikana ufumbuzi yakiwa madogo//Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wamiminika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakitoroka mapigano.