1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 11.08.2017

Yusra Buwayhid
11 Agosti 2017

Upinzani Kenya wataka mgombea wao Raila Odinga atangazwe kuwa Rais. Rais Donald Trump aionya Korea Kaskazini na kiongozi wake dhidi ya kufanya mashambulizi dhidi ya Marekani na washirika wake. Watu wapatao 27 wauwawa katika mapigano mjini Kinshasa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

https://p.dw.com/p/2i2aA