1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za asubuhi 10.12.2016

Yusra Buwayhid
10 Desemba 2016

Mtuhumiwa wa kigaidi akamatwa na polisi akiwa na bunduki ya aina ya AK-47 nchini Uholanzi. Mkutano wa Shirika la Usalama na Ushirikiano la Ulaya OSCE wamalizika Ujerumani, bila ya makubaliano kuhusu migogoro ya Syria na Ukraine. Na, Rais wa Gambia, Yahya Jammeh abadili kauli yake ya awali na kukataa kushindwa na mpinzani wake katika uchaguzi wa urais.

https://p.dw.com/p/2U3o9