1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 05.04.2017

Yusra Buwayhid
5 Aprili 2017

Mashambulizi ya kemikali yaua watu 100 Syria. Wagombea urais nchini Ufaransa wakutana katika mdahalo wa televisheni wiki chache kabla ya uchaguzi. Marekani yataka kuona ushahidi kutoka serikali ya Sudan kuwa yaweza kulinda raia wake.

https://p.dw.com/p/2ahWx