1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi 01.02.2019

V2 / S12S1 Februari 2019

Nchi za Ulaya zazindua mfumo maalum wa malipo ili kuweza kufanya biashara na Iran//Kiongozi wa upinzani wa Venezuela Juan Guaido aliyejitangaza Rais avionya vikosi vya usalama dhidi ya kuidhuru familia yake//Rais wa Marekani Donald Trump kukutana na Rais wa China Xi Jinping kutia saini makubaliano ya kibiashara.

https://p.dw.com/p/3CXx3