1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 9.10.2017

Sylvia Mwehozi
9 Oktoba 2017

Tuliyo nayo : Marekani imesitisha huduma za utaoji visa zisizo za wahamiaji katika vituo vya kidiplomasia nchini Uturuki . Kansela Angela Merkel amekubali uwepo wa kikomo katika idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini Ujerumani. Spika wa bunge la wawakilishi la Ethiopia Abadula Gemeda, amewasilisha barua ya kujiuzulu.

https://p.dw.com/p/2lTuG