Tuliyo nayo: Jimbo la Hawaii nchini Marekani lataka ufafanuzi zaidi juu ya marufuku ya kusafiri. Polisi Ufaransa wanamshikilia mwanaume mmoja aliyetaka kuushambulia msikiti mjini Paris. Na Baraza la Usalama limekubaliana kupunguza askari wa kulinda amani Sudan.