Jumuiya ya kimataifa yataja wasiwasi wake kufuatia maandamano ya vurugu nchini Kenya. Canada yawataka raia wake kuondoka Lebanon kufuatia kitisho cha vita kati ya Israel na Hezbollah. Mawaziri wa ulinzi wa Marekani na Urusi wazungumza na kujadili kuhusu vita vya Ukraine.