1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 21.12.2016

Sylvia Mwehozi
21 Desemba 2016

Tuliyo nayo: Kundi linalojiita Dola la Kiislamu IS limedai kuhusika na shambulio la siku ya Jumatatu mjini Berlin. Timu ya wapelelezi wa Urusi imeondoka kuelekea Uturuki kuanza uchunguzi wa mauaji ya mwanadiplomasia wa taifa hilo. Na upinzani nchini Gambia wasema rais Yahya Jammeh hatoshitakiwa akiondoka madarakani.

https://p.dw.com/p/2UdFK