1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 14.04.2023

Sylvia Mwehozi
14 Aprili 2023

Muhtasari wake: Serikali ya Ujerumani yaidhinisha ombi la Poland la kupeleka ndege za kivita aina ya MiG-29 nchini Ukraine // Pentagon yamnasa mtu anayeshukiwa kuvujisha nyaraka za siri // Korea Kaskazini yafanya jaribio jingine la kombora la masafa marefu.

https://p.dw.com/p/4Q1zT