1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa Ya Habari Ya Asubuhi: 13.07.2023

13 Julai 2023

Mkutano wa kilele wa NATO wamalizika huku nchi za G7 zikiahidi msaada zaidi kwa Ukraine. Uhuru Kenyatta atoa wito wa suluhu ya amani katika mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Watu sita wafariki katika shambulio linalohusishwa na biashara ya madawa ya kulevya huko Mexico.

https://p.dw.com/p/4Tned