1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 13.01.2024

V2 / S12S13 Januari 2024

Muhtasari: //Taiwan yapiga kura hii leo// Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa pande husika kupunguza mvutano katika Bahari ya Shamu //Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak atangaza msaada mpya wa mabilioni ya dola kwa Ukraine // Cape Verde imekuwa nchi ya tatu barani Afrika kutangazwa kutokomeza ugonjwa wa Malaria.

https://p.dw.com/p/4bC03
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago imagesPicha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)