1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Migogoro

Taarifa ya habari ya asubuhi 05.08.2023

V2 / S12S5 Agosti 2023

+++Wakuu wa majeshi wa jumuiya ya kikanda ya Afrika Magharibi ECOWAS wakubaliana mpango wa uwezekano wa kuingilia kati kijeshi nchini Niger. +++Kiongozi wa upinzani wa Urusi Alexei Navalny amehukumiwa miaka mingine 19 jela. +++China yathibitisha kushiriki mazungumzo ya mjini Jeddah kuhusu mpango wa amani wa Ukraine.

https://p.dw.com/p/4Unor