1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Ya Asubuhi: 05.06.2023

5 Juni 2023

Urusi yasema vikosi vyake vimezuia mashambulizi huko Donetsk na kuua mamia ya askari wa Ukraine. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya kujihami ya NATO amesema kuwa makubaliano juu ya Sweden kujiunga na muungano huo yanaweza kufikiwa hivi karibuni. Na huko Sudan, Mapigano yaripotiwa tena huko Khartoum na Darfur baada ya muda wa usitishaji mapigano kufikia tamati.

https://p.dw.com/p/4SBc9
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki

Zaidi kutoka kipindi hiki

UK, Teesside | Rishi Sunak
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago imagesPicha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)