Tuliyo nayo asubuhi hii: Mgombea wa urais wa Marekani Donald Trump anaongoza kwa asilimia ndogo ya pointi katika utafiti mpya wa maoni . Vikosi vya Iraq vimedai kusogea karibu zaidi katika kuudhibiti mji wa Mosul unaoshikiliwa na wanajihadi na rais wa Korea Kusini Park Geun-Hye amemfuta kazi waziri wake mkuu pamoja na mawaziri wengine wawili.