1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 02.08.2021

Josephat Charo
2 Agosti 2021

Vikosi vya Afghanistan vyawashambulia wapiganaji wa Taliban kuwazuia kuivamia miji mikubwa nchini humo. Iran yakanusha madai ya kuhusika na shambulizi dhidi ya meli ya kibiashara yenye mafungamano na Israel katika ghuba ya Oman. Na rais wa Zambia Edgar Lungu alituma jeshi kudhibiti machafuko kabla uchaguzi ulioapngwa kufanyika baadaye mwezi huu.

https://p.dw.com/p/3yPWj