1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
30 Novemba 2022

https://p.dw.com/p/4KGeT

-Senegal imekuwa timu ya kwanza ya Afrika kufuzu kwa duru ya mtoano ya michezo ya kombe la dunia inayoendelea Qatar

-Mawaziri wa mambo ya nje wa NATO wanakutana mjini Bucharest kujadili msaada zaidi kwa Ukraine

-Ripoti ya shirika la haki za binadamu inasema watu 488 wameuawa nchini Iran katika ukandamizaji dhidi ya waandamanaji