1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
19 Julai 2022

https://p.dw.com/p/4EK2P

-Rais wa Urusi Vladimir Putin na mwenzake wa Urusi Recep Tayyip Erdogan wanafanya ziara nchini Iran leo

-Rais wa Ukraine Volodomir Zelenskiy amewafuta kazi wafanyakazi 28 wa ujasusi kwa kutowajibika ipasavyo

-Uingereza na baadhi ya sehemu za Ulaya bara zitakuwa na joto la kuvunja rekodi