1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
15 Januari 2022

https://p.dw.com/p/45ZM4

-Umoja wa Ulaya na Urusi waelezea matumaini ya kupatikana makubaliano mapya juu ya mpango wa nyuklia wa Iran
-Maelfu ya watu waandamana nchini Mali kuunga mkono utawala wa jeshi na kupinga vikwazo vya ECOWAS
-Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amejiuzulu, na kuzusha hofu ya mpasuko katika muungano wa kisiasa wa Rais Felix Tshisekedi.