1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
27 Mei 2020

https://p.dw.com/p/3coT0

Serikali ya Afghanistan imewaachia mamia ya wafungwa wa kundi la Taliban.

Urusi yamuarifu mbabe wa kivita nchini Libya Khalifa Haftar, kwamba inaunga mkono usitishwaji wa mapigano nchini humo.

Chama kikuu cha upinzani Burundi chajiandaa kupinga mahakamani, matokeo ya uchaguzi wa rais wa wiki iliyopita.