1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
25 Mei 2020

https://p.dw.com/p/3ci2o

Marekani imepiga marufuku wasafiri kutoka Brazil katika hatua za kupamba na mripuko wa virusi vya corona.
Tume ya uchaguzi ya Burundi yatarajiwa kutangaza leo matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais uliofanyika wiki iliyopita.
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amefikishwa mahakani, na kuvishambulia kwa maneno vyombo vya sheria.