1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
20 Juni 2019

https://p.dw.com/p/3KkLg

-Watu wanne wamefunguliwa mashtaka kuhusiana na kuangushwa kwa ndege ya Malaysia katika anga la Ukraine mwaka 2015.
-Rais wa China Xi Jinping ameondoka kuelekea Korea Kaskazini katika ziara ya siku mbili.
-Jeshi la Sudan limesema linataka mazungumzo na waandamanaji yaanze upya lakini bila masharti yoyote.