1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
17 Juni 2019

https://p.dw.com/p/3KZ95

-Rais wa zamani wa Sudan Omar al-Bashir afikishwa mahakamani mjini Khartoum.
-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu azindua makazi ya walowezi katika milima ya Golan, ayapa jina la Donald Trump.
-Ujerumani yauza silaha kwa nchi zilizo katika ushirika wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia, awali iliyasitisha mauzo hayo.