1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
15 Mei 2019

https://p.dw.com/p/3IVZU

-Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo amefanya mazungumzo na viongozi wa Urusi, na kusema nchi yake haitafuti vita na Iran.

-Baraza la kijeshi na waandamanaji wa Sudan wakubaliana kuunda utawala wa mpito wa miaka mitatu.

-Mtandao wa kijamii wa Whatsapp watoa tahadhari baada ya kuingiliwa na wadukuzi.