Matangazo
-Chama cha mrengo mkali wa kulia kimepata kura nyingi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili nchini Sweden.
-Korea Kaskazini yafanya maanyesho makubwa ya kijeshi, lakini mara hii bila zana za nyuklia wala makombora.
-Ajali ya ndege yauwa watu 20 Sudan Kusini, watatu wanusurika, akiwemo mtoto.