1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Daniel Gakuba
30 Mei 2017

https://p.dw.com/p/2dngk

Waasi na raia wapatao 1000 wamehamishwa kutoka kitongoji cha Barzeh mjini Damascus, na kuuacha udhibiti wa mji huo mkuu wa Syria mikononi mwa serikali ya Rais Bashar al-Assad, Waziri Mkuu wa India Narendra Modi yuko ziarani nchini Ujerumani kupigia debe biashara na uwekezaji, Msemaji wa serikali ya DRC Lambert Mende ni miongoni mwa maafisa 9 waandamizi wa Kongo waliowekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya