1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, Asubuhi saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
11 Januari 2018

https://p.dw.com/p/2qfJR

Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ahitimisha ziara nchini China kwa kusaini mikataba ya mabilioni ya euro. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres apanga kuizuru Colombia kutathmini hali ya amani. Ethiopia yapiga marufuku wageni kuwaasili watoto wa nchi hiyo.