Urusi imesema vikosi vyake vimechukua udhibiti kamili wa mji wa mashariki mwa Ukraine Sieverodonetsk.
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz asema anataka kuangazia zaidi mfumko wa bei ya bidhaa na migogoro ya nishati na tabia nchi, kwenye mkutano wa kilele wa G7.
Wanaharakati wa haki za binadamu wa Morocco wataka uchunguzi ufanywe kufuatia vifo vya wahamiaji 23.