1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 29.08.2017

29 Agosti 2017

Korea Kaskazini imerusha kombora lake kuelekea Japan mapema leo asubuhi // Viongozi wa nchi nne za Umoja wa Ulaya wamekutana na wenzao wa Afrika kuzungumzia njia za kupambana na uhamiaji haramu // Kiasi ya watu laki tano wa jimbo la Texas, Marekani watahitaji msaada wa serikali baada ya kukumbwa na kimbunga kikali.

https://p.dw.com/p/2j007