1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 23.02.2020

23 Februari 2020

Maelfu ya watu wamendamana kwenye mji wa Hanau, Ujerumani kupinga ubaguzi pamoja na makundi ya siasa kali za kizalendo // Shirika la Afya Duniani, WHO limesema watu wapatao 78,000 ulimwenguni wameambukizwa virusi vya Corona // Viongozi wa Uturuki, Urusi, Ufaransa na Ujerumani Machi 5, wataujadili mzozo katika jimbo la Idlib, Syria

https://p.dw.com/p/3YDlV