1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 19.09.2017

19 Septemba 2017

Rais wa Marekani, Donald Trump ameukosoa Umoja wa Mataifa, akitaka ufanyiwe mageuzi // Shinikizo la kimataifa linazidi kuongezeka kuitaka Myanmar isitishe ghasia dhidi ya Waislamu wa Rohingya katika jimbo la Rhakine // Kimbunga Maria jana usiku kilijiimarisha zaidi na sasa kinakaribia kufika mashariki mwa visiwa vya Caribbean.

https://p.dw.com/p/2kEgV