1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 16.03.2020

16 Machi 2020

Wakati dunia ikiendelea kupambana na mripuko wa virusi vya corona China imethibitisha visa vipya 16//Makamu wa zamani wa rais wa Marekani, Joe Biden na Bernie Sanders wameshiriki katika mdahalo wa ana kwa ana kwa mara ya kwanza//Jenerali wa ngazi ya juu wa Sudan amesema nchi yake itakuwa mpatanishi wa mkataba kuhusu mzozo unaoongezeka kati ya Ethiopia na Misri wa bwawa la umeme katika Mto Nile

https://p.dw.com/p/3ZUiz