1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 06.10.2022

6 Oktoba 2022

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema vikosi vya nchi hiyo vimeyakomboa maeneo zaidi katika jimbo la Kherson//Korea Kusini na Japan zimesema Korea Kaskazini leo imefyatua makombora mengine mawili, siku mbili tu baada ya jaribio lake la mwisho//Benki ya Dunia imesema sio rahisi ulimwengu kulifikia lengo lake la kuondoa umaskini uliokithiri ifikapo mwaka 2030

https://p.dw.com/p/4HoPo