1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 02.12.2020

2 Desemba 2020

Mwanasheria Mkuu wa Marekani amesema hakuna ushahidi unaounga mkono madai ya Rais Donald Trump ya kuwepo udanganyifu katika uchaguzi // Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaofuatilia vikwazo vya Sudan Kusini wamependekeza kudumishwa kwa marufuku ya silaha nchini humo // Waziri wa Ulinzi wa Israel, Benny Gantz amesema chama chake kitaunga mkono muswada wa kulivunja bunge

https://p.dw.com/p/3m66Z