1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sura ya Ujerumani: Wanafunzi waathirika na mfumuko wa bei

Zainab Aziz21 Desemba 2022

Kwa mujibu wa takwimu, thuluthi moja ya wanafunzi nchini Ujerumani wamo katika hati hati ya kukumbwa na umasikini. Kutokana na kupanda kwa bei za nishati baadhi ya wanafunzi wameamua kuacha kujipikia chakula wenyewe. Asasi inayoshugulikia ustawi wa jamii imesema Ujerumani imo miongoni mwa mataifa tajiri duniani lakini wapo watu milioni 13.8 wanaohesabika kuwa maskini. Mtayarishaji ni Zainab Aziz.

https://p.dw.com/p/4LGcF