Miongoni mwa yaliyomo kwenye Afrika wiki hii ni Sudan kuendelea kushinikizwa kimataifa kurudisha utawala wa kiraia baada ya mapinduzi ya kijeshi na kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Chadema yaendelea.Kwa mengi zaidi sikiliza Afrika wiki hii na Saumu Mwasimba