Wawili hao watakutana kujadili hatua ya Kiir, kuwafuta kazi mawaziri watatu kwa mpigo, akiwemo wa ulinzi, wa ndani na wa mambo ya nje bila ya mashauriano, hatua ambayo inaelezwa kufanyika kinyume na makubaliano ya amani ya 2018. Waziri wa Ulinzi aliefutwa kazi ni mke wa Machar. Sudi Mnette ameongea na mjuzi katika siasa za Sudan Kusini, Ali Mutasa.