1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sudan: Abdallah Hamdok aachia ngazi

3 Januari 2022

Waziri mkuu wa Sudan Abdallah Hamdok aachia ngazi. Hatua yake inaiacha Sudan katika misukosuko zaidi kisiasa tangu mapinduzi ya kijeshi ya mwezi Oktoba mwaka jana. #Kurunzi. Swali kuu linalosalia katika vinywa vya watu ni je, ni vipi Sudan itajiondoa katika zogo la kisiasa linaloikabili?

https://p.dw.com/p/454q9